Leticia Nyerere |
Ally Kessy |
Mbunge huyo alikuwa akiuliza swali la nyongeza ambapo alimuuliza Naibu Waziri wa Kilimo
Wakati mbunge huyo akitaka hayo mbunge mwingine wa viti maalum Leticia Nyerere naye ametaka serikali ianzishe kituo maalum cha kufundisha wanaume kutongoza wanawake ili kupunguza vitendo vya kuwabaka walemavu.
" Kwa kuwa wanaume wengi wanaowabaka walemavu wengi wao wana matatizo ya akili na hawajimiani na hivyo kushindwa kuwashawishi wanawake wazima. Je serikali haioni kwamba ipo haja kuanzisha kituo za kuwafundisha wanaume ili waweze kujiamini na kuachana na ngono ya dezo " aliuza Mbunge huyo
Mbunge huyo alikuwa akiuliza swali la nyongeza.
Hata hivyo serikali katika majibu yake imesema hayo hayawezekani
1 comment:
www0908
soccer shoes
ecco shoes
ugg boots
ugg boots clearance
louboutin shoes
coach handbags
tod's outlet
dsquared2
true religion
michael kors outlet
Post a Comment