Monday, May 21, 2012

Cameron akishangilia Chelsea bingwa ulaya

David Cameron Waziri Mkuu wa Uingereza anashangilia ushindi Chelsea mbele ya viongozi wenzake hapo ilikuwa ni uzalendo zaidi sio ushabiki
Ubingwa mtamu hapa naye Obama alishangilia sijui alikuwa upande gani mama Chansela Angela Markel wa Ujerumani anasikitika Bayern Munich ilivyotolewa
Chelsea wakikata mitaa ya London na kombe la ubingwa kwa kishindo
Jana mitaa ya London
London ilirindima na ushindi wa Chelsea ilipowasili kutoka Ujerumani
Add caption

No comments: