Wednesday, January 23, 2013

Afrika yakusini kidedea yaichapa Angola 2 - 0

Wachezaji wa Afrika ya Kusini wakishangilia baada ya kupata goli
Timu ya Afrika ya Kusini leo imeichapa Angola kwa jumla ya magoli 2 - 0 katika mchezo wa kundi A uliocheza katika uwanja wa Nelson Mandela Durban Afrika ya Kusini.
Magoli hayo yamefungwa na Siyabonga Sangweni na Lehlohonolo Majoro.

Afrika ya Kusini

  • 32 Itumeleng Khune
  • 3 Bongani Khumalo
  • 16 Anele Ngcongca
  • 21 Siyabonga Sangweni
  • 24 Tsepo Masilela
  • 7 May Mahlangu
    46 mins - Reneilwe Letsholonyane
  • 8 Dean Furman
  • 18 Thuso Phala
  • 9 Katlego Mphela
    77 mins - Oupa Manyisa
  • 25 Bernard Parker
  • 37 Tokelo Rantie
    58 mins - Lehlohonolo Majoro

Angola

  • 0 Lama
  • 0 Pirolito
  • 0 Lunguinha
  • 0 Dani Massunguna
  • 0 Bastos
  • 0 Miguel
  • 0 Dede
    65 mins - Gilberto
  • 0 Mateus
  • 0 Manucho
  • 0 Guilherme Afonso
    85 mins - Amaro
  • 0 Geraldo
    46 mins - Djalma

No comments: