Tuesday, January 24, 2012

Kikwete aongoza mazishi ya Sumari


Rais Jakaya Kikwete akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Jeremiah Sumari. Mazishi hayo yalifanyika Akheri Arumeru Arusha

Spika wa Bunge la Tanzania akimpa pole mke wa Marehemu Jeremiah Sumari Miriam Sumari wakati wa mazishi yaliyofanyika Akheri Arusha
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa heshma za mwisho kwenye jeneza la Mwili wa Marehemu Jeremiah Sumari kabla ya  mazishi

No comments: