Monday, October 15, 2012

Ni vilio na majonzi ulipoagwa mwili wa RPC Mwanza

Makamanda wa Polisi wakisubiri kubeba jeneza lenye mwili wa marehemu Libaratus Barlow

Makanda wa Polisi wakibeba jeneza lenye mwili wa marehemu Liberatus Barlow

Wasifu wa Marehemu ukisomwa

Umati wa watu waliojitokeza wakati wakuuga mwili mwa marehemu

Ibada ya kuombea mwili wa Marehemu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Uratibu na Bunge Wiliam Lukuvi akitoa heshima za mwisho katika mwili wa Marehemu Picha zote kwa hisani ya Blog ya Michuzi





No comments: