Wednesday, October 24, 2012

Mwanamke kuwa chini ya Mwanaume sio sababu ya kunyanyaswa



LIPO jambo gumu katika ulimwengu wa uhusiano ambalo limekuwa tatizo kubwa na fumbo linalowashinda wengi. Nazungumzia mwanamke kuwa chini ya utawala wa mwanaume. Kwa ujumla ni jambo la kawaida kabisa.

Huu ni msingi uliojengwa tangu zamani na hata kwenye mapitio ya vitabu vitakatifu yanaeleza juu ya jambo hilo. Kimsingi, hakuna tatizo katika nguvu hiyo ya mwanaume. Katika kipindi hiki cha sayansi na teknolojia, mambo yamebadilika kidogo na angalau mwanamke anapata nafasi mbalimbali kwenye jamii.

 Kwa kirefu zaidi bofya hapa

No comments: