Tuesday, October 30, 2012

Je unajua ni hatari kumdadisi mpenzi wako alitembea na wangapi?

KATIKA mapenzi kuna mambo ambayo hayastahili kupewa muda wa kuyajadili. Hii ni kutokana na ukweli kwamba, mengine yanaweza kutibua furaha iliyopo na kuweza kupindisha maisha yenu.

Kwa kuthibitisha hilo, sikia kisa hiki. Jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina la Rashid alibahatika kumpata mke mzuri sana aliyefahamika kwa jina la Wahida. Yaani mwanamke ambaye kila mwanaume akimuona ni lazima atamani kuwa naye.

Bofya hapa kwa undani zaidi

No comments: