Sunday, July 10, 2011

Sudan ya Kusini taifa jipya barani Afrika


Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania ampongeza:


Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania akimpongeza Rais wa Sudan mpya ya Kusin Generali Salva Kiir Mayardit mara tu alipaapishwa kuwa rais wa Sudan ya Kusini

Hatimaye Sudan ya Kusini imepata uhuru wake na sasa ni taifa jipya duniani likiwa la 54 barani Afrika. Huenda siku ya Jumamosi ya Julai 9, 2011 itaendelea kukumbukwa kama siku ya uhuru wa taifa hilo ambalo sasa litakuwa likijiendeshea mambo yake yenyewe.

Generali Salva Kiir Mayardit aliapishwa rasmi kuwa rais mpya wa Sudan ya Kusini huku akishuhudiwa na marais wapatao 13 akiwepo rais wa Tanzania Jakaya Kikwete. Hata hivyo changamoto kubwa inayolikabili taifa hili jipya ni umaskini pamoja na uduni wa huduma za jamii kama elimu , maji na huduma za afya.

Rais Kiir Mayardit sasa ana changamoto kubwa ya kuijenga nchi hiyo ambayo pia ina rasimali nyingi yakiwemo mafuta. 

Rais Jakaya Kikwete akifurahi na Rais mpya wa Sudan ya Kusin Generali Salva Kiir Mayardit

Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Sudan ya Kusin Salva Kiir Mayardit wakizungumza bila shaka Kikwete anamwambia "kuzaa sio kazi kazi kulea mwana"

Mke wa Rais Kikwete Mama Salma akipokea ua mara tu Rais Kikwete na mkewe walipowasili katika uwanja wa ndege wa Juba tayari kuhudhuria sherehe za kuanzishwa kwa taifa jipya la Sudan ya Kusini


4 comments:

yanmaneee said...

steph curry shoes
yeezy
adidas yeezy
pandora
supreme
stone island
kyrie 4 shoes
kyrie irving shoes
curry 6 shoes
pandora

Unknown said...

web link dolabuy.ru a knockout post Chrome-Hearts Dolabuy get redirected here best replica bags online

Anonymous said...

replica bags wholesale mumbai gucci fake j2u90j2d85 7a replica bags philippines Get the facts z0q62k0j40 louis vuitton replica handbags replica bags in london k8e13r1a63 replica bags in delhi replica hermes p1j50p5g35 replica chanel bags ebay

slasu said...

y6t71n1m19 u9u91k6k11 w1m59m6u07 s8i43t0u14 c1o48a5n54 e1s49p4n35