Thursday, October 25, 2012

Waziri aliyesema Tanzania ni Muungano wa Pemba na Zimbabwe ajitetea

Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philip Mulugo


Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philip Mulugo aliyejikanyaga na kusababisha gumzo kubwa Tanzania kuhusu namna alivyokuwa akiwasilisha mada kwamba Tanzania ni Muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe amejitetea na kusema aliteleza ulimi hivyo anaomba msamaha. Ebu sikiliza utetezi wake hapa china kama alivyohojiwa na kituo cha redio cha Clouds FM.

Bofya usikilize mahojiano hayo


Kama ulipitwa na aliyoyasema ebu angalia video hii hapa chini


1 comment:

leighr said...

great site e0l26h3u50 replica gucci replica bags south africa this page v4r28g4l93 replica louis vuitton bags best replica bags online 2018 replica bags in gaffar market replica hermes handbags f1b59k8g11 replica bags toronto